CLICK

Tuesday, September 25, 2018

KUBET : MAKAMPUNI BORA YA KUBET ONLINE/MTANDAONI TANZANIA

MAKALA HII NI KWA WANAOBET MTANDAO/ ONLINE BETTING KARIBU
Ni kitu cha kawaida sasa kukuta nchi zinazoendelea na zilizoendelea watu kucheza michezo ya kubashiri. Ni kitu cha kawaida japo ukifanya vibaya unaweza kuwa addicted nayo. KUBET au KUBASHIRI au wengine huita KUCHEZA KAMARI ni mchezo wa kuotea na Sasa umekua maarufu hapa nchi kwetu.

Kama wewe nimchezaji au ungependa kucheza Kamari au betting ONLINE ambayo imehalalishwa kisheria ni muhimu ukajua makampuni mazuri yanayotoa huduma nzuri katika michezo hii. Leo nimekuwekea makampuni ambayo yanaubora mzuri na kukuaminisha kuwa unaweza ukabashiri nayo. YAPO MAKAMPUNI MENGI ILA

Vigezo vya kuyapanga ni kutokana na Options katika kila mchezo, Usalama Wa mihamala ya Pesa zako na huduma kwa wateja Pale unapohitaji msaada au unapopata tatizo.
Kulingana na utafiti niliofanya mimi makampuni Saba nimeyaona kuwa bora japo yanazidiana uwezo hivyo nitakuwekea makapuni hayo kuanzia namba 7 mpaka namba moja. Na pengine nitakupa pendekezo langu wapi ucheze Kamari kwa uhuru Zaidi. Karibu. 

NAMBA 7: SUPABET
Supabet Licha ya kuwa ya kuwa na mijengo ya kubet dirishani pia wana website yao ya kubet ambapo unaweza kujiunga nao.
Uzuri wa subet ni kuwa wana optons nzuri na wamesajiliwa na bodi ya michezo ya kubashiri. Nimewahi kubet kwao. Ila sikupendezwa na vile mtandao unavyosumbua sumbua. Mtandao unaweza kuwa mzito kwa siku 3 na usiweze kutuma bet zako. Ingawa kwenye kutoa na kuweka pesa wako haraka unaweza kutoa na kuweka pesa muda wowote. Uzuri wao ni kuwa wana Mobile Application inayokuwezesha kubet kirahisi. Na dau la chini la kuweka pesa kwenye account yako ni tsh 1000. Na unaweza kubet kw sh 200 katika mkeka mmoja. Supabet wanakata asilimia 18% ya kodi kwa kila mkeka utakaobet.


NAMBA 6: PLAY MASTER
PLAY MASTER  wana huduma nzuri kwa wateja. Pia kiwango chao cha chini cha kudepost pesa ni shilingi 1000 na unaweza kubet kw ash 500 katika mkeka mmoja.






Muda wowote unaweza kuweka na kutoa pesa. Kitu ambacho sijavutiwa nacho ni kuwa hawana Mobile Apllication hivyo kufanya kubet kuwa kwa shida kidogo maana utahitaji kutumia web. Pia wana options chache. Kuwepo kwa options chache za kubet kunakufanya nafasi ya ushindi kuwa ndogo. Playmaster wanakata asilimia 18% ya kodi kwa kila mkeka utakaobet.

NAMBA 5; PRINCESSBET
PRINCESSBET ni moja ya makampuni mazuri. Ni bora Zaidi ukilinganisha na namba 7 na 6.
Uzuri wao wana huduma nzuri kwa wateja. Unafanya miamala kirahisi. Nisichovutiwa nacho ni kuwa hawana options nyingi na hivyo kufanya nafasi ya kushinda kuwa ndogo. Na tatizo linguine mtandao wao huwa mzito na kukufanya ushindwe kubet wakati Fulani hasa kukiwa na match nyingi kama vile jumapil na jumamosi. Uzuri wa Princessbet hawakati asilimia 18% ya kodi kwa kila mkeka utakaobet.
NAMBA 4: PRIMIER BET
PRIMIER BET  huyu ni maarufu kwa jina Kanjibai… wanamwita MUHINDI ni moja ya makumpuni ya siku nyingi hapa Tanzania. Wanabetisha mpaka mitaani.
Lakini kwa online pia wana platform nzuri. Nachowapendea wana options nyingi na kukupa nafasi ya kuweza kumpiga muhindi yani kushinda. Nauzuri ni kuwa mtandao wao hausumbui sana ni mara chache utasumbua.  Na uzuri wana mobile Application inayokuwezesha kubet kirahisi. Nisicho kifurahia kwao ni kuwa huwezi kutoa pesa zako ulizoshinda weekend. Kutoa pesa ni jumatatu kuanzia saa 6 mchana mpaka ijumaa saa 6 mchana. Ukitoa pesa jumapili au jumamosi tegemea kuipata jumatatu. Usumbufu huu kwenye pesa zangu sikuupenda. Ila ni kampuni nzuri nay a kuiamini. Primier bet wanakata asilimia 18% ya kodi kwa kila mkeka utakaobet lakini uzuri ni kwamba unapewa pesa uliyakatwa kama bonus katika mkeka wako. Hivyo hakuna unachopunguza.

SASA TUINGIE KWENYE TOP 3

NAMBA 3 NI : MERIDIAN BET
Hii ni moja ya makampuni makongwe kidogo hapa Tanzania. Naipenda meridian kwasababu ina options nyingi na match za ligi nyingi hivyo kukupa nafasi kubwa ya kushinda. Kingine ni kuwa wanakupa nafasi ya kudepost kiasi chochote kuanzia sh 100 nakuendelea.
Mkeka mmoja unaweza kubet kwa shilingi 200 na kuendelea. Pia mihamala yao ni haraka. Huduma kwa wateja ni za haraka na masaa 24. Kingine ni kuwa ile asilimia 18% ambayo unakatwa hapa unarudishiwa kwenye bonus account yako ambayo unaweza kuibetia. Nisichovutiwa na meridian ni kusumbua kwa mtandao hasa siku za jumamosi na jumapili ambapo kuna kua na match nyingi. Merdianbet wana Application inayokuwezesha kubet kirahisi lakini pia katika mkeka wako kama match kadhaa zimeisha na zingine bado basi wana option inayokupa wewe nafasi ya kutrubo pay. Yani unalipwa kulingana na match ambazo tayari zimewin.

NAMBA 2 NI: SPORTPESA
SPORTPESA Ni KAMPUNI kubwa hapa Tanzania na afrika masharikio. Kiasi cha kudepost ni kuanzia sh 1000 na unabet kuanzia sh elfu 1000.
Nachopenda kutoka sport pesa licha ya kuwa na options chache na match chache wana odds nono. Pia KUTOA na kuweka pesa ni haraka sana. Ni kampuni nzuri. Huduma kwa wateja ni nzuri na haraka na kwa masaa 24. Wana mobile application inayokupa nafasi ya kubet kirahisi sana. Mi labda ambacho sijakipenda sana ni wana options chache na pia wana match na ligi chache kwenye sportbook yao. LAKINI HII KAMPUNI BORA KABISA.  SPORTPESA wanakata asilimia 18% ya kodi kwa kila mkeka utakaobet.

NAMBA MOJAAAAA ; 1XBET
1XBET hii inaweza kuwa kampuni ngeni kwa watu wengi saana. Maana hawana mjengo hapa Tanzania. Isipokuwa ni kampuni kubwa kutoka URUSI.
Hii kama kampuni zile za 365bet na zingine za huko ughaibuni. Kabla hujajisajili na hii kampuni hakikisha unakitambulisho cha NIDA cha utaifa. Kampuni hii ni tofauti na makampuni makubwa duniani Maana inakupa nafasi ya kudepost na kuwithdraw kwa njia ya simu MPESA AIRTEL MONEY NA TIGO PESA. Wana huduma nzuri kwa wateja unaweza kupigiwa simu na unajibiwa ujumbe wako ndani ya dk moja. Kuhusu Options hapa 1xbet utakimbia kuna options nyingi sanaaaaa sanaaaa. Pia kiwango chao cha chini cha kuweka pesa ni shilingi 1500 na unaweza kubet kuanzia sh 300. Wana application nzuri ya simu inakupa nnafasi kubet mpaka live kwa haraka sana. Toka nimeanza kubet kwa huyu mrusi yaani 1XBET sijawahi kupata shida ya network. Nini kila sababu kuwa namba moja .

NAKUPENDEKEZEA UJIUNGE LEO NA 1XBET NA HUTOJUTIA KABISA JIUNGE sasa JIUNGE KIRAHISI  BONYEZA HAPA 1XBET 1XBET kisha jaza fomu na ujiunge. 

ukishindwa kujiunga na ukakwama popote weka comment nitakusaidia au niandike email hapa NITUMIE UJUMBE

Popular Posts